Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania, Mhe Samia, Suluhu Hassan leo
amewaongoza Watanzania katika maadhimisho ya siku ya wakulima na Wafugaji
nchini Tanzania ambapo kitaifa yamefanyika katika viwanja vya Ngongo Mkoani
Lindi.
Katika
Kilele hicho cha Nane Nane Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu, ametembelea
mabanda mbalimbali yakiwemo ya Kilimo, Ufugaji na Uvuvi yaliyopo katika viwanja
hivyo ikiwa ni pamoja na kuhutubia wananchi na wakulima na Wafugaji
watakaojitokeza katika maadhimisho hayo.
.
Post a Comment
karibu kwa maoni