Mechi za kirafiki za kimataifa kwa
kalenda ya shirikisho la kandanda Ulimwenguni (Fifa) zimepigwa usiku wa
kuamkia leo kwa Michezo kadhaa.
Nchini Australia ,Brazil wakiwa ni wageni wamewatandika wenyeji Australia bao 4-0 mbele ya Mashabiki wao lukuki.Brazil wakicheza bila ya Nyota wao Neymar waliandika bao la kwanza kupitia Diego Souza na walifanikiwa kupachika Bao la Pili dakika ya 62 kupitia Thiago Silva na dakika ya 75 Taison akapachika bao la 3 na kisha Diego Souza kufunga ukurasa wa magoli kwa kuandika bao la nne dk 93 kipindi cha pili.
Post a Comment
karibu kwa maoni