|
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa,
akimpongeza Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe.
Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) ndani ya Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma,
baada ya wabunge kupitisha Bajeti ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018.
9475
|
|
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe.
Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kushoto) na Naibu wake Dkt. Ashatu Kijaji (Mb),
wakifuatilia kwa makini hoja mbalimbali za Wabunge wakati wakijadili Bajeti ya
Wizara hiyo Bungeni Mjini Dodoma, ambapo Bunge hilo limepitisha Bajeti ya
shilingi trilioni 11.752 kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 |
|
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe.
Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akihitimisha mjadala wa Bajeti ya Wizara yake
ambapo Bunge limepitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya shilingi trilioni
11.752 kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. |
| | | | | | | |
Post a Comment
karibu kwa maoni