0


 
Mambo 11 mhimu ya kuzingatia unapokuwa na shinikizo la juu la damu:
  1. Ongeza kiasi cha unywaji maji na chumvi kila siku
  2. Kula nyama isiyo na mafuta mengi
  3. Ongeza kula vyakula visivyokobolewa
  4. Kula zaidi matunda, mboga za majani, karanga na maharage
  5. Punguza vyakula vya viwandani vinavyoongezwa sukari nyingi
  6. Punguza vyakula vyenye lehemu au kolesteroli nyingi
  7. Acha kuvuta sigara na tumbaku za aina zote
  8. Acha kunywa pombe
  9. Dhibiti uzito wako, hakikisha una uzito unaopaswa kuwa nao kwa mjibu wa urefu wako
  10. Punguza mfadhaiko au stress
  11. Fanya mazoezi ya viungo hasa mazoezi ya kukimbia kila siku na kama kukimbia kimbia huwezi basi kutembea kwa miguu masaa mawili kwa siku inatosha kabisa.

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top