UPDATE:Majira ya saa moja usiku jana milio ya mabomu ya machozi ilisikika mitaa ya Nakwa Babati Manyara huku hali iliyowafanya wakazi wa mtaa huo kuingiwa na hofu kubwa.
Wakazi wa mtaa huo walidai kuwa ni polisi ndio waliopiga mabomu hayo kutawanyisha vikundi vya kihuni.
Post a Comment
karibu kwa maoni