0
MiziziJamii ya Wahadzabe ni moja kati ya makabila yaliyobaki duniani yanayoendeleza shughuli za uwindaji, inadhaniwa kuwa jamii hii imeishi kaskazini mwa Tanzania, ikila matunda na mizizi, na aina mbalimbali za wanyama kwa miaka 40,000.Matunda ya mibuyu yana vitamini C kwa wingi
Wataalamu katika historia ya viumbe hai waligundua miongo mingi iliyopita kwamba jamii ya Hdzabe huwa wana njaa mara nyingi lakini kamwe hawawezi kufa njaa. Shauku yao katika suala la kula inasababishwa na kuwepo kwa wingi wa vyakula mbalimbali vinavyowazunguka, lakini changamoto kubwa ipo katika kuweza kupata na mbinu zinazohitajika katika kupata vyakula hivyo.
Maeneo yote yaliyotuzunguka yalikuwa yamesheheni vyakula lakini sisi hatukuweza kuvitambua lakini hata watoto wadogo katika jamii ya hadzabe waliweza kutambua na kupata chakula.Hadza man carrying meat and arrows
Wataalamu katika historia ya viumbe hai waligundua miongo mingi iliyopita kwamba jamii ya Hdzabe huwa wana njaa mara nyingi lakini kamwe hawawezi kufa njaa. Shauku yao katika suala la kula inasababishwa na kuwepo kwa wingi wa vyakula mbalimbali vinavyowazunguka, lakini changamoto kubwa ipo katika kuweza kupata na mbinu zinazohitajika katika kupata vyakula hivyo.Pundamilia
Maeneo yote yaliyotuzunguka yalikuwa yamesheheni vyakula lakini sisi hatukuweza kuvitambua lakini hata watoto wadogo katika jamii ya hadzabe waliweza kutambua na kupata chakula.

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top