

Wataalamu katika historia ya viumbe hai waligundua miongo mingi iliyopita kwamba jamii ya Hdzabe huwa wana njaa mara nyingi lakini kamwe hawawezi kufa njaa. Shauku yao katika suala la kula inasababishwa na kuwepo kwa wingi wa vyakula mbalimbali vinavyowazunguka, lakini changamoto kubwa ipo katika kuweza kupata na mbinu zinazohitajika katika kupata vyakula hivyo.
Maeneo yote yaliyotuzunguka yalikuwa yamesheheni vyakula lakini sisi hatukuweza kuvitambua lakini hata watoto wadogo katika jamii ya hadzabe waliweza kutambua na kupata chakula.

Wataalamu katika historia ya viumbe hai waligundua miongo mingi iliyopita kwamba jamii ya Hdzabe huwa wana njaa mara nyingi lakini kamwe hawawezi kufa njaa. Shauku yao katika suala la kula inasababishwa na kuwepo kwa wingi wa vyakula mbalimbali vinavyowazunguka, lakini changamoto kubwa ipo katika kuweza kupata na mbinu zinazohitajika katika kupata vyakula hivyo.

Maeneo yote yaliyotuzunguka yalikuwa yamesheheni vyakula lakini sisi hatukuweza kuvitambua lakini hata watoto wadogo katika jamii ya hadzabe waliweza kutambua na kupata chakula.
Post a Comment
karibu kwa maoni