
Mdhibiti
na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Profesa Mussa Juma Asaad (kushoto)
akiwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi Dk.Laurean
Ndumbaro (kulia)wakifurahia jambo wakati aliokuwa kimsindikiza mara baada
Katibu Mkuu huyo kufungua mkuatano mkuu wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya
CAG uliofanyika mjini Dodoma leo.
na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Profesa Mussa Juma Asaad (kushoto)
akiwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi Dk.Laurean
Ndumbaro (kulia)wakifurahia jambo wakati aliokuwa kimsindikiza mara baada
Katibu Mkuu huyo kufungua mkuatano mkuu wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya
CAG uliofanyika mjini Dodoma leo.

Katibu Mkuu Ofisi ya
Rais Utumishi Dk.Laurean Ndumbaro akizungumza wakati wa kufungua mkutano mkuu
wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za
Serikali (CAG) lililofanyika mjini Dodoma leo .
Rais Utumishi Dk.Laurean Ndumbaro akizungumza wakati wa kufungua mkutano mkuu
wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za
Serikali (CAG) lililofanyika mjini Dodoma leo .

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi Dk.Laurean Ndumbaro akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa baraza la wafanyakazi Ofisi ya CAG.

Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof Musa Asaad
akitoa taarifa ya Ofisi yake wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa Baraza la
Wafanyakazi wa Ofisi ya CAG lililofanyika leo jijini Dodoma .
akitoa taarifa ya Ofisi yake wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa Baraza la
Wafanyakazi wa Ofisi ya CAG lililofanyika leo jijini Dodoma .

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi Dk.Laurean Ndumbaro akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa baraza la wafanyakazi Ofisi ya CAG.

wajumbe wa mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Ukaguzi
Post a Comment
karibu kwa maoni
EmoticonClick to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.