0
Image result for mez b kifo chake 
Tarehe  kama ya leo  mwanamuziki wa Tanzania Moses Bushagama maarufu kama Mez B alifariki dunia.
Mez B aliyekuwa mmoja wa wanamziki wanaounda kundi la Chamber squard,alifariki tarehe 20 Februari 2015 mjini Dodoma kwa ugonjwa wa homa ya mapafu(TB).
Mez B anakumbukwa kwa vibao vyake vikali kama Kikuku, kama vipi, nimekubali na nyimbo ya Ghetto langu aliyoshirikishwa na Marehemu Albert Mangwea.
Huyu ni msanii wa pili kufariki kutoka kundi la chamber squad imepoteza wasanii wake wawili.Kabla ya Mez b Kufariki Miaka miwili iliyopita kundi hilo liliomboleza kifo cha mwenzao Albert Mangwea a.k.a Ngair ambapo Mez B alikuwa mstari wa mbele wakati wa mazishi yake.
 Mungu  azilaze roho zao mahali pema peponi Amen.

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top