0
Pacquiao na Khan kupigana ApriliBingwa wa ndondi uzani Welterweight duniani Manny Pacquiao, atapigana na Muingereza Amir Khan tarehe 23 mwezi Aprili,
Pigano hilo litaandaliwa baada ya mashabiki wa Pacquaiao kwenye mtandao wa Twitter kumchagua Khan kama mwanandondi ambaye wangependa apigane na mfilipino huyo.
"Hiki ndicho mashabiki walikuwa wanaaka," Pacquaiao mwenye umri wa miaka 38 alisema.
Khana wa umri wa miaka 30 alithibitisha pigano hilo licha ya Pacquaiao kusema kuwa huenda pigano lake likaandaliwa Milki ya nchi za kiarabu, eneo litakaloandaliwa bado halijatangazwa.
Akiongea kwa njia ya video Khan anasema Uingereza, Dubai au Marekani ni kati sehemu ambapo pambano hilo litafanyika.Pacquiao na Khan
Pigano la mwisho la Khan lilifanyika mwezi Mei mwaka 2016, wakati wakati alimshinda kwa Knock out raia wa Mexico Saul "Canelo" Alvarez

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top