Alizungumzia mambo mengi muhimu lakini pia akakiri kwamba Kauli mbiu ya rais wa awamu ya tano Mheshimiwa John Pombe Magufuli inasapotiwa sana na vyombo vya habari.
Alisema'Kitendo cha kuongezeka hii redio hapa mkoani Manyara,mimi binafsi kinanipa faraja kubwa sana.
Post a Comment
karibu kwa maoni