Akitangaza
uamuzi huo leo , Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole,
amezitaja wilaya hizo zilizofutiwa uchaguzi kwamba ni Moshi Mjini,
Siha, Hai, pamoja na Makete.
Amesema
sababu ya kufuta matokeo hayo ni kubainika kwamba wagombea
waliojitokea hawakuwa na sifa, pamoja na kubainika kuwepo na viashiria
hatarishi kwa chama.
Hivyo kutokana na uamuzi huo Polepole amesema kwamba wilaya hizo zitaanza upya mchakato wa uchaguzi huo.
Post a Comment
karibu kwa maoni