Wafungwa hao Pascal Kakuru, Suzzan Kigula na Moses Ekwam walionekana wamevaa majoho ya mahafali kama walivyo wahitimu wengine.
Kuhitimu kwa wafungwa hao kumefanikishwa na mradi maalumu kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha London wa kuwapa wafungwa fursa ya kupata elimu wakiwa kwenye kifungo, ikiwa ni kutimiza haki yao ya msingi.
Post a Comment
karibu kwa maoni