![]() |
Side Entertainment akiwa na familia yake. |
Wakazi wa mji wa Babati na Viunga vyake walikuwa na shauku ya muda mrefu kumwona Baraka akiwa Stejini bila mafanikio muda mrefu kupita.
Show hiyo itakayofanika tarehe 24 February siku ya ijumaa Club Lavista inajulikana kama USIKU WA BARAKA DA PRINCE BABATI.

Baraka the Prince ameandika ujumbe mzito kwenye ukurasa wake wa Instagram baada ya video moja kuvuja ikimuonesha yupo na msichana
anaye sadikika kuwa ana mahusiano naye kimapenzi akionekana kukerwa na kitendo hicho ambacho amesema sio cha ukweli bali ni baadhi ya watu wanataka kumchafua. Baraka the Prince alianza kupata umaarufu mwaka 2015 na sasa ni msanii mwenye jina kubwa mwenye nyimbo za kusisimua.
Post a Comment
karibu kwa maoni