Katika
ukaguzi huo maafisa wa jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani
wamegundua makosa mengi yakiwemo kukosa mikanda ya abiria uchakavu wa maumbo ya
magari na kati ya zaidi ya mabasi hamsini yaliyokaguliwa madereva watano wenye
makosa sugu wamefikishwa mahakamani.
Wakizungumzia
operesheni hiyo wafanyakazi wa mabasi na mawakala wamekuwa na maoni tofauti
wakati wengine wakidai kutopatiwa muda wa kutosha kufanya marekebisho wengine
wameunga mkono zoezi hlo huku abiria wakieleza walivyoathirika.
Post a Comment
karibu kwa maoni