Leo kamanda wa polisi mkoa wa Manyara Francis Masawe amemtaja mtu huyo kuwa ni Ramadhaniu Amani [32] fundi rangi mkazi wa Kwa Morombo jijini Arusha.
Babati alikuwa akiishi na fundi mwenzake............Chanzo cha kifo chake bado kinachunguzwa.
MSIKILIZE KAMANDA MASAWE HAPA
Post a Comment
karibu kwa maoni