I
had an opportunity to minister through manyara fm to the people of
Manyara when i was at Babati, Thanks to my Brother JOHN_WALTER.
Alisema tangu atoe wimbo wake unaoitwa Nakupenda akiwa ameimba kwa Lugha mbili,Kiingereza na Kiswahili amezidi kuongeza wafuasi wanaopenda kazi anayoifanya ya kutangaza neneo la Mungu kwa njia ya uimbaji.
Aidha Aggrey amewataka vijana kuachana na anasa za dunia na badala yake wafanye yale ya kumpendeza Mungu kwani duniani ni njia.
Akitoa ushuhuda wake akizungumza na mtangazaji wa Manyara Fm John Walter kwenye kipindi cha Lulu ya Injili,amesema tangu aokoke ameona Mungu akimtendea miujiza mingi ikiwa ni sambamba na kufanikiwa kwa kila anachokihitaji.
Msanii huyu anazo nyimbo nyingi na kwa sasa anatamba na wimbo wake unajulikana kama NAKUPENDA.
Alisema tangu atoe wimbo wake unaoitwa Nakupenda akiwa ameimba kwa Lugha mbili,Kiingereza na Kiswahili amezidi kuongeza wafuasi wanaopenda kazi anayoifanya ya kutangaza neneo la Mungu kwa njia ya uimbaji.
Aidha Aggrey amewataka vijana kuachana na anasa za dunia na badala yake wafanye yale ya kumpendeza Mungu kwani duniani ni njia.
Akitoa ushuhuda wake akizungumza na mtangazaji wa Manyara Fm John Walter kwenye kipindi cha Lulu ya Injili,amesema tangu aokoke ameona Mungu akimtendea miujiza mingi ikiwa ni sambamba na kufanikiwa kwa kila anachokihitaji.
Msanii huyu anazo nyimbo nyingi na kwa sasa anatamba na wimbo wake unajulikana kama NAKUPENDA.
Post a Comment
karibu kwa maoni
EmoticonClick to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.