0
Responsive imageKlabu ya barcelona inamshitaki mchezaji wao wa zamani Neymar na kumtaka kurudisha kiasi cha euro millioni 8.5 zaidi ya milioni 20 za kitanzania juu ya uhamisho wake wa kwenda PSG uliovunja recodi ya dunia
Mbrazili huyo alitengeneza kiasi cha euro million mia mbili mwezi Agasti mwaka huu baada ya kujiondoa kwenye mkataba wake na Barcelona
Barcelona sasa imemtaka Neymar kurudisha marupu rupu aliyokuwa akipokea baada ya kusign upya mkataba wake kwa kuwa hajatimiza muda wa mkataba vile vile Barca imetaka asilimia 10 zaidi kwa kucheleweshwa malipo hayo .

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top