0
Hawa ni wanachama wa chama cha Mapinduzi katika mkutano maalum wa kumtangaza kiongozi mkubwa wa upinzani anaekihamia chama hicho katika ukumbi wa wa Checkpoint Pugu ambapo Chama cha Mapinduzi CCM kimesema kuwa ni kiongozi mkubwa kutoka upinzani anayetokea katika mkoa wa DSM anaepokelewa  na Mzee Mangula Makamu wa Mwenyekiti wa CCM Bara. .

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top