MKE NA MUME WAKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA CHINA 1:59:00 PM w 0 Habari moto Kimataifa, Habari moto kitaifa A+ A- Print Email Watanzania wawili, Baraka Malali na mkewe Ashura Musa wamekamatwa nchini China wakiwa wamemeza kete 129 za dawa za kulevya wakiwa na mtoto wao wa miaka 2 na miezi 9 ambaye amerudishwa nchini leo. Baraka alikuwa amemeza kete 47 na Ashura kete 82.
Post a Comment
karibu kwa maoni