Mpambano huo unatajwa kuwa wa gharama zaidi kuwahi kutokea na tiketi kwa sasa zinauzwa kama njugu.
Unatarajiwa kupigwa Agosti 26 katika uwanja wa T-Mobile mjini Las Vegas utakaoingiza watu elfu 20.
Mayweather mwenye miaka 40 awali alistaafu lakini amerejea kupambana na McGregor.
Tiketi za
kushuhudia mpambano wa masumbwi kati ya Floyd Mayweather dhidi ya Conor McGregor
zinauzwa kwa dola 150,000.
Post a Comment
karibu kwa maoni