Diwani kata ya Maisaka Halmashauri ya mji wea Babati mkoani Manyara Abrahaman Kololi mwenyekiti wa kamati ya usafi wa mazingira ya mji amezungumzia mashindano ya michezo mbalimbali
iliyoandaliwa na jeshi la polisi mkoani Manyara maarufu Kama USALAMA
CUP.
Michezo hii inaenda sambamba na kauli Mbiu TII SHERIA BILA SHURUTI,TUNZA MAZINGIRA,PINGA UJANGILI NA KUPINGA MIMBA ZA UTOTONI.
Michezo hii inaenda sambamba na kauli Mbiu TII SHERIA BILA SHURUTI,TUNZA MAZINGIRA,PINGA UJANGILI NA KUPINGA MIMBA ZA UTOTONI.
Post a Comment
karibu kwa maoni