
Ameyasema hayo wakati akifanya mahojiano na kituo kimoja cha habari ambapo amesema kuwa alichokifanya Lowassa ni kitu cha kawaida kwani yeye ni CCM.
Amesema kuwa hakuna mtu wa kuweza kumfukuza Chadema kwani chama hicho alishakinunua hata Mwenyekiti wake analielewa hilo.
“Chadema hakuna mtu wa kumfukuza Lowassa, Chama alishakinunua na alichokifanya jana kilikuwa ni sahihi kabisa, ingawa hatumtaki arudi CCM,”amesema Musukuma
Post a Comment
karibu kwa maoni