Inaelezwa kuwa Waziri wa Mawasiliano nchini humo alitangaza wiki chache zilizopita kuwa serikali inatarajia kuzindua mtandao wake, jambo ambalo watu wanaamini mtandao huo ulitengenezwa haraka haraka.
Rais wa nchi hiyo wameeleza kuwa wanaamini mtandao huo umeundwa ili kwamba vyombo vya usalala vifuatilie kwa ukaribu watumiaji wake na taarifa zao.
Inaripotiwa kuwa siku za hivi karibuni watu wengi wamefungiwa akaunti zao za mtandao wa Facebook huku wengine wakikamatwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za uchochezi.
Post a Comment
karibu kwa maoni