
ANARIPOTI GHAROS RIWA KUTOKA DAR ES SALAAM:
Wadau
wa vyombo vya habari leo 13,February,2017, wanaadhimisha siku ya Redio
Duniani ambapo kitaifa maadhimisho hayo yanafanyikia chuo kikuu huria
cha Tanzania Jijini Dar es salaam.
Kaulimbiu Mwaka huu ya maadhimisho hayo" Radio is you:role of the media in
promoting development" tafsiri isiyokuwa rasmi," Redio ni wewe: Kazi za
vyombo ya Habari katika kuchochea Maendeleo" .
Aidha wadau wa vyombo vya Habari kutoka katika Redio za kijamii Tanzania waliokuwa katika mafunzo ya wiki moja katika ukumbi wa VIP uwanja wa taifa wamejumuika na walimwengu wote katika kuadhimisha Siku Hiyo,
Aidha wadau wa vyombo vya Habari kutoka katika Redio za kijamii Tanzania waliokuwa katika mafunzo ya wiki moja katika ukumbi wa VIP uwanja wa taifa wamejumuika na walimwengu wote katika kuadhimisha Siku Hiyo,
Post a Comment
karibu kwa maoni