katika mazungumzo yake IGP Sirro amemuhakikishia sheikh mkuu kuwa, jeshi la polisi litaendelea kushirikiana na viongozi wa kidini katika kukabiliana na matishio mbalimbali ya kihalifu na wahalifu hususani katika maeneo ya kuabudia.
kwa upande wake Sheikh mkuu wa Tanzania mufti Abubakar Zubeir, amesema kuwa, ili jamii iendelee kuishi kwa amani na utulivu ni vyema wakashirikiana na vyombo vya dola katika kubaini na kutanzua uhalifu uliopo katika jamii.
Post a Comment
karibu kwa maoni