Kaimu Katibu Msaidizi wa Tume hiyo wilaya ya Chamwino, Khalidi Shabani amesema tatizo la utoro kwa walimu limeendelea kukua katika wilaya hiyo kutokana na walimu watoro kulindwa na baadhi ya viongozi wanaozuia hatua stahiki kuchukuliwa dhidi yao.
WALIMU 15 WATIMULIWA DODOMA
Kaimu Katibu Msaidizi wa Tume hiyo wilaya ya Chamwino, Khalidi Shabani amesema tatizo la utoro kwa walimu limeendelea kukua katika wilaya hiyo kutokana na walimu watoro kulindwa na baadhi ya viongozi wanaozuia hatua stahiki kuchukuliwa dhidi yao.
Post a Comment
karibu kwa maoni