0

 
 Upinzani mkali katika siasa hapa nchini ni kati ya CCM na CHADEMA,swali mabalo unaweza kujiuliza je baada ya kafulila kukihama chama chake CHADEMA atakwenda kujiunga na chama gani kingine cha siasa?
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Kigoma Kusini mwaka 2010-2015 David Kafulila amejivua uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Taarifa ya Kafulila kuondoka CHADEMA imetolewa leo kwa vyombo vya habari, na kueleza kwamba hana imani tena na vyama vya upinzani katika kupambana na ufisadi.

David Kafulila anafahamika zaidi kwa kuibua mapambano dhidi ya vitendo vya rushwa kwa kuibua bungeni suala la Escrow.



Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top