0
Muda
mfupi baada ya muigizaji wa filamu nchini, Wema Sepetu kutangaza jana
jioni kuwa ameamua kurejea Chama cha Mapinduzi (CCM), Katibu wa Itikadi
na Uenezi Humphrey Polepole  alisema chama hicho hakina taarifa rasmi
kuhusu Wema kutaka kurudi.
Muda
mfupi baada ya muigizaji wa filamu nchini, Wema Sepetu kutangaza jana
jioni kuwa ameamua kurejea Chama cha Mapinduzi (CCM), Katibu wa Itikadi
na Uenezi Humphrey Polepole  alisema chama hicho hakina taarifa rasmi
kuhusu Wema kutaka kurudi.

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top