Taarifa za kifo cha Jaji Kisanga
zimethibitishwa na Msajili wa Mahakama ya Rufaa John Kahyoza.
Mbali na Mahakama ya Rufaa, Marehemu Jaji
Robert Kisanga alifanya kazi Baraza la Habari Tanzania (MCT).
Jaji Robert Kisanga aliteuliwa kuwa
Mwenyekiti wa kwanza wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kabla ya
kustaafu mwaka 2008.
![]() |
| Marehemu Jaji Mstaafu Robert Kisanga akihutubia moja ya mkutano enzi za uhai wake. |


Post a Comment
karibu kwa maoni