0
Klabu ya soka ya Chelsea imepata ushindi wa goli 3-2 dhidi ya Klabu ya Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Uingereza.
Chelsea inafikisha alama 60 baada ya michezo 33 na kubaki nafasi ya 5 huku Southampton ikibaki na alama 28 katika nafasi ya18
Hata hivyo, Southampton ndio ilikuwa ya kwanza kupata magoli yake kupitia kwa D. Tadic (21′) na J. Bednarek(60′). huku Chelsea ikipata ushindi kupitia magoli ya O. Giroud aliyetokea benchi (70′ na 79′) na E. Hazard(75′),

MATOKEO MENGINE
Burnley 2 - 1  Leicester City
Crystal Palace 3 - 2  Brighton & Hove Albion
Huddersfield Town 1 - 0  Watford
Swansea City 1 - 1  Everton
 

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top