0
Image result for TAKUKURU NASSARIMkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini (TAKUKURU) Kamishna Valentino Mlowola amemtaka Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari kutii sheria bila shuruti ya kukaa kimya akisubiri taasisi hiyo kushughulikia taarifa alizopeleka za kiuchunguzi kuhusu rushwa kutumika kuwafanya madiwani kuhama CHADEMA kwenda CCM.

Mlowola amesema hayo jijini DSM wakati akizungumza na wanahabari na kusisitiza kwamba endapo Nassari atakiuka agizo hilo na kuendelea kutoa taarifa za mwenendo wa uchunguzi wa taarifa alizopeleka TAKUKURU atafikishwa kwenye vyombo vya Sheria.

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top