Watanzania watatu na raia watano wa
Nigeria wanashikiliwa na Idara ya Uhamiaji wakidaiwa kupatikana na dawa
za kulevya zikiwamo Heroin, Cocaine, bangi na mashine ya kutengeneza
dawa hizo. Kaimu Kamishna wa
Usimamizi na Udhibiti wa Mipaka, Kagimbo Hoseah amesema watuhumiwa
wamekamatiwa eneo la Masaki jijini Dar es Salaam.
Hoseah amewataja Watanzania kuwa ni Ruth Kabezi, Lucy Adolf na Lizzy Minja ambaye ni wakili wa kampuni ya Law Associates. Wanigeria wametajwa kuwa ni, Bisola Adeyemi, Olasunkanmi Kayode, Aaron Ejeh, Obina Nwauba na Darlington Nwauba.
Hoseah amewataja Watanzania kuwa ni Ruth Kabezi, Lucy Adolf na Lizzy Minja ambaye ni wakili wa kampuni ya Law Associates. Wanigeria wametajwa kuwa ni, Bisola Adeyemi, Olasunkanmi Kayode, Aaron Ejeh, Obina Nwauba na Darlington Nwauba.
Post a Comment
karibu kwa maoni