0

Image result for MAJALIWA
Katika hotuba yake leo katika mkutano wa Bunge la 11 mjini Dodoma Waziri mkuu Kassim Majaliwa akizungumzia sekta ya madini amesema kuwa serikali imeimarisha usimamizi katika sekta ya madini ili kuiwezesha sekta hiyo kuchangia kikamilifu katika uchumi wa nchi.
Aidha amelipongeza jeshi la kujenga taifa kwa kusimamia ujenzi wa  ukuta mererani  wenye mzunguko wa kilomita 24.5 kukamilika kwa wakati.

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top