0
FOUNTAIN GATE FC NA SIMBA SC FEBRUARI 6,2025.FOUNTAIN GATE FC NA SIMBA SC FEBRUARI 6,2025.

Na John Walter -Babati Timu ya Fountain Gate FC itakutana na Simba SC katika mchezo wa ligi utakaofanyika Februari 6, 2025, kwenye Uwanja wa Tanzanite, Kwaraa, mjini Babati, mkoani Manyara. Mechi hii ni ya kipekee kwani ni mara ya kwanza kwa Simba SC…

Read more »endelea

0
Ahmed Ally aponzwa na Kauli yake kuhusu Pacoume Ahmed Ally aponzwa na Kauli yake kuhusu Pacoume

Klabu ya Yanga imemtaka Meneja habari na mawasiliano wa Simba SC , Ahmed Ally kutoka hadharani na kuomba radhi kwa matanshi wanayodai yameichafua klabu yao (Yanga) mbali na hili wanadai fidia ya Tsh Bilioni 10 Kauli ya Ahmed iliyosababisha haya 👇“Pa…

Read more »endelea

0
SAMIA&GEKUL CUP KUUNDA TIMU YA JIMBO NA  VIJANA 40.SAMIA&GEKUL CUP KUUNDA TIMU YA JIMBO NA VIJANA 40.

Na John Walter -Babati Mashindano ya mpira wa Miguu ya SAMIA&GEKUL CUP 2024 yamefikia tamati novemba 10, 2024, kwa timu za Eagle FC na Bagara FC  kuchukua ubingwa.Eagle FC kundi la taasisi ilifanikiwa kushinda mabao 6-0 dhidi ya Bajaji FC huku Bagar…

Read more »endelea

0
MWAKINYO ANAHITAJIKA NA MSINDAI MWAKINYO ANAHITAJIKA NA MSINDAI

Read more »endelea

0
MASHABIKI WA FOUNTAIN GATE ROYAL FANS BABATI WAWAFUATA SINGIDA BLACK STARS KWA PUNDA.MASHABIKI WA FOUNTAIN GATE ROYAL FANS BABATI WAWAFUATA SINGIDA BLACK STARS KWA PUNDA.

Kuelekea mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara utakaozikutanisha timu za singida Black stars na Fountain gate fc Oktoba 25,2024, mashabiki wa timu ya Fountain gate fc Royal fans Babati wameahidi kuibuka na ushindi kwani wamejiandaa vyema kuishabiki…

Read more »endelea

0
CHAMA CHA SOKA BABATI CHAPATA VIONGOZI WAPYA CHAMA CHA SOKA BABATI CHAPATA VIONGOZI WAPYA

Chama cha mpira wa miguu wilaya ya Babati mkoani Manyara (BDFA) kimefanya uchaguzi mkuu wa kuchagua Viongozi mbalimbali watakaoongoza kwa muda wa miaka minne.Katika chaguzi huo aliyekuwa mwenyekiti Gerald Romli Mtui ameendelea kubakia kwenye nafasi y…

Read more »endelea

0
MASHABIKI WA FOUNTAIN GATE FC WAJA NA UGALI DAY MASHABIKI WA FOUNTAIN GATE FC WAJA NA UGALI DAY

Read more »endelea

0
NAIBU WAZIRI  MWINJUMA AONESHA MUONEKANO WA TUZO ZA MUZIKI TANZANIA*NAIBU WAZIRI MWINJUMA AONESHA MUONEKANO WA TUZO ZA MUZIKI TANZANIA*

Imeandikwa Na John WalterNaibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis  Mwinjuma, Oktoba 10,2024 Jijini Dar es Salaam  ameonesha rasmi muonekano wa Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) mbele ya Waandishi wa Habari.Akizungumza na wanahabari hao, M…

Read more »endelea

0
WANAWAKE BABATI MJI WAWACHAPA 39 TICD WANAWAKE BABATI MJI WAWACHAPA 39 TICD

Timu ya Wanawake mchezo wa Netiboli Halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara imeshinda kwa mabao 39-12 dhidi ya Chuo cha Maendeleo ya Jamii  Tengeru mkoani Arusha katika mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye uwanja wa Tanzanite Kwaraa Mjini Babati.B…

Read more »endelea

0
MASHABIKI WA FOUNTAIN GATE FC NI HUMU TUMASHABIKI WA FOUNTAIN GATE FC NI HUMU TU

Read more »endelea

0
MSHINDI WA MASHINDANO YA MISS SED 2024 ASHINDA ZAWADI YA GARIMSHINDI WA MASHINDANO YA MISS SED 2024 ASHINDA ZAWADI YA GARI

Mshindi wa Mashindano ya  Miss Sed 2024 yaliyofanyika Wilayani Babati Mkoani Manyara na kuhudhuriwa na mamia ya Wakazi wa Mikoa Mbali mbali ya Tanzania huku mshindi wa Mashindano hayo mrembo  Sara David akinyakua zawadi ya gari jipya aina ya Toyota V…

Read more »endelea
 
 
Top