Maneno hayo yalitumiwa katika habari kuhusu ziara ya klabu ya Everton nchini Tanzania.
Mtu mmoja aliitaja hatua hiyo kama utovu wa heshima na ya kibaguzi.
Maneno hayo hatahivyo yameondolewa katika habari hiyo ambayo bado iko katika mtandao lakini bado yametumika katika maelezo ya picha, imesema.
''Mashabiki wa Bollasie wamejaa katika kijiji cha uvuvi mashariki mwa pwani ya taifa hilo'', yalisema maelezo hayo ya picha
Post a Comment
karibu kwa maoni