0
Anaandika Suleimani Ussi kutoka Zanzibar
Image result for chama cha soka zanzibar 
Mchezaji wa timu ya JKU Amour Janja ambae amesimamishwa kucheza mpira katika clubu hiyo ya JKU kutokana na utovu wa nidhamu pia anashikiliwa na jeshi la Polisi  kwa kukamatwa na misokoto ya Bangi.

WALTER HABARI ilimtafuta katibu mkuu wa michezo wa JKU Saadi Ujudi ili kuweza kulithibitishia hilo na kujua mpka saiv mchezaji huyo ana hatima gani katika club  ya JKU zaidi katibu saadi alikiri kuwa mchezaji huyo ana makosa mbalimbali.


Chama cha soka Zanzibar kimemsimamisha mchezaji wa kilimani city Azizi Sheweji kwa muda wa mechi nne kwa kufanya utovu wa nidhamu katika mchezo waliocheza juzi kati ya timu ya kiliman city dhidi ya timu ya Black sailors mchezo huo ulipigwa saa8 za mchana pia mwalimu Abrahman mussa wa kiliman city nae amesimamishwa hadi pale atakapopeleka vyeti vyake vya ukocha vithibitishwe akitoa tamko hilo katibu wa ZFA taifa Mohd Aliy hilali teddy amesema ushahidi wote wanao waliofanya pia amesema soka ni nidhamu na sio kuvunja kanuni.

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top