0
Image result for manchester united f.c.Manchester United wamepanda hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu ya England baada ya kuilaza Everton kwa mabao mawili kwa bila kwenye mchezo uliopigwa kwenye dimba la Goodson Park.
Anton Martial na Jesse Lingard ndiyo mashujaa wa United katika mchezo huo uliopigwa usiku wa kuamkia leo baada ya kuwaandikia mashetani hao wekundu magoli katika dakika za 57 na 81.

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top