0
Baada ya shirikisho la soka Ulaya UEFA kuchezesha droo ya UEFA Champions League hatua ya robo fainali, baada ya hapo wamechezesha pia droo ya robo fainali ya UEFA Europa League.

Baada ya droo hiyo kuchezeshwa Arsenal ambao waliwatoa AC Milan katika hatua ya 16 bora, wamepangwa na CSKA Moskva ya Urusi katika robo fainali Arsenal akianzia nyumbani.

 Mechi za kwanza za Robo fainali zitachezwa April 5 na Marudiano itakuwa  April 12 mwaka huu

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top