Salah baada ya kuwa na msimu mzuri katika Ligi Kuu England EPL akiwa na Liverpool leo ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya tatu ya mchezaji bora wa mwezi March wa Ligi Kuu England EPL.
Mohamed Salah kwa msimu wa 2017/2018 pekee amefanikiwa kushinda tuzo hiyo mara tatu akianzia mwezi November, February na March hivyo kushinda tuzo hiyo kwa mara ya tatu leo kunamfanya kuwa mchezaji pekee EPL kuwahi kushinda tuzo hiyo mara tatu kwa msimu mmoja.
Post a Comment
karibu kwa maoni