Hayo yamesemwa na Waziri wa nishati Dokta Medard Kalemani wakati alipotembelea na kukagua utekelezaji wa miradi ya REA katika wilayani za Same na Siha mkoani Kilimanjaro.
Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Same, Rosemary Senyamule amesema mradi huo utasaidia kukabiliana na changamoto ya umeme iliyokuwa ikiwakabili wananchi wilayani humo.
Post a Comment
karibu kwa maoni