0
Hii ndio zahanati Kijiji cha Kiongozi inayotumika sasa.
Zahanati ya zamani ambayo inatumika mpaka sasa katika kijiji cha Kiongozi Halmashauri ya mji wa  Babati.
Upande wa Nyuma kama unavyonekana.
Taswira ya zahanati katika kijiji cha Kiongozi katika Halmashauri ya mji wa Babati kama inavyoonekana..kuanzia ya zamani mpaka ya sasa ambayo ipo katika ujenzi.
Jengo hili la zahanati katika kijiji cha Kiongozi linaendelea kujengwa na lilizwekwa jiwe la msingi na kiongozi wa mbio za mwenge ndg Juma Khatibu  miaka miwili iliyopita.
Ikikamilika itwasaidia wanakijiji wa Kiongozi kupata huduma za afya karibu na kwa uhakika.

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top