Akiwa nchini, Tao Zhang, atafanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Ikulu Jijini Dar Es Salaam
Aidha, Zhang atawasilisha mtazamo wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF)kwa wadau hapa nchini kwa lengo la kuifanya Tanzania kuwa na maendeleo endelevu, kuimarisha uchumi mkubwa (Macroeconomy) na kuwa na uchumi shirikishi.
Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano Serikaini
Wizara ya Fedha na Mipango
Post a Comment
karibu kwa maoni
EmoticonClick to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.