0

Displaying IMG_9532.JPGNaibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) Tao Zhang amewasili nchini kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), pamoja na Maafisa wengine waandamizi wa Serikali. katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa  Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.Displaying IMG_9469.JPG
Akiwa nchiniTao Zhang, atafanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli,  Ikulu Jijini Dar Es Salaam
Aidha, Zhang atawasilisha mtazamo wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF)kwa wadau hapa nchini kwa lengo la kuifanya Tanzania kuwa na maendeleo endelevu, kuimarisha uchumi mkubwa (Macroeconomy) na kuwa na uchumi shirikishi.
Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano Serikaini
Wizara ya Fedha na Mipango

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top