0
Anaandika Suleimani Ussi kutoka Zanzibar
Kikosi cha timu ya simba kimewasili kisiwan Zanzibar asubuhi ya leo kwaajili ya kuweka kambi ya kujianda na mchezo wao wa ligi kuu ya Tanzania bara  dhidi ya timu ya Yanaga kikosi hicho kimekuja na wanachezaji 24  na ndio watakaoshiriki katika mchezo wa tarehe 28 dhidi ya yanaga akizungumza na kipindi hiki mratibu wa timu ya simba abassi sleiman  amesema hajui kama watacheza mchezo wa kirafiki hapa Zanzibar  ….

Kiupande wake nae kocha mpya wa timu ya Simba Masud Juma Irambona amesema vijana wote 24 wapo vizuri sana isipokua wachache tu ndio majeruhi na hawakuwasili zanzibar na kilichobaki ni kuanza mazoezi na amesema amerizishwa sana na kambi ya Zanzibar kwaajili ya maandalizi ya mechi ya tarehe 28…

Mwenykiti wa kamati ya soka la ufukweni aliy sharifu adafu amezitaja timu kwa majina zitakazoshiriki katika ligi kuu ya soka la ufukweni akizungumza na kipindi hiki adofu amesema  timu  nyengine kwa mara ya kwanza msimu huu zitatoka katika ligi za vijana na kushiriki katika ligi ya soka la ufukweni .zaidi adaofu anaeleza zaidi…

Timu ya green quen imeanza mazoezi kwaajili ya kuchaguliwa kwa wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Zanzibar inatakayoshiriki katika mashindano ya CECAFA women chamipion inayotarajia kufanyika November 3  hadi  12 mwaka huu na yatafanyika huko Ruwanda ambapo timu ya  taifa ya  Zanzibar quen  itashiriki tumezungumza na kolkipa wa wa gren qen salma abdallah  amesema kiupande wa mara hii watafanya vizuri katika mashindano hayo …

 Afisa  Mdhamini Wizara  ya  Habari  Utalii  Utamaduni  na  Michezo  Pemba  Khatib  Juma  Mjaja   amewataka  waamuzi  kufuata  sheria  na  Kanuni    za  Michezo   ili  kuepuka  malalamiko  Viwanjani.yanaojitokeza

Nae  katibu  wa Zfa  Wilaya  ya  Chake Chake  pemba Suleiman  Juma  nae  amewataka waamuzi na wachezaji kuwa na nidhamu katika mpira

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top