Msanii wa Bongo Fleva Beka Fleva anaetamba kwa sasa na kibao chake "SIKINAI" amewaambia mashabiki wake kuwa wajiandae kupokea vitu vizuri zaidi mwaka 2018.
Beka Fleva akizungumza na Manyara Fm pia amezungumzia ishu ya Aslay kutoa nyimbo nyingi kwa wakati mmoja akisema kuwa ni mfumo wake aliojiwekea na ni kitu kizuri.
Kuhusu maneno ya kwenye mitandao ya kijamii kwamba Aslay katoroka na daftari la nyimbo amesema huo ni uzushi wa mitandao ya kijamii 'Mbona hata mimi nina Counter'.
Pia Beka amesema yeye hawezi kutoka kwa msichana ambaye amemzidi umri.
Kuhusu maneno ya kwenye mitandao ya kijamii kwamba Aslay katoroka na daftari la nyimbo amesema huo ni uzushi wa mitandao ya kijamii 'Mbona hata mimi nina Counter'.
Pia Beka amesema yeye hawezi kutoka kwa msichana ambaye amemzidi umri.
Post a Comment
karibu kwa maoni
EmoticonClick to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.