0
 Mke wa Mwanasiasa Mkongwe Kingunge Ngombale Mwiru, Peras amefariki dunia mchana huu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu. Mkwe wa marehemu ajulikanaye kama Anita katika akaunti yake ya Snapchat ameandika ujumbe usemao “R.I.P mama yangu, asante kwa yote, Mungu akupumzishe mahala pema peponi.” 
Maamuzi ya Waziri Nchemba leo akiwa Morogoro.

Post a Comment

karibu kwa maoni

 
Top